Aug 27, 2012

HITIRAFU YA UMEME YAATHIRI MWENENDO WA KAZI TPB BANK DAR.

Pichani baadhi ya wananchi wakishuhudia tukio la hitirafu ya umeme katika benk ya posta.
kushoto ni magari ya zima moto ya kampuni ya ULTIMATE SECURITY yakiwa na wafanyakazi waliokuwa
 wakiendelea kutoa msaada wa kuzima hitirafu hiyo.

0 comments: