skip to main | skip to sidebar

Pages

  • Home
  • Contact us

STUDIO FIVE NEWS

picha habari na matukio

Ads 468x60px

TRULY - INTERACTIVE - ATTENTIVELY - INTEGRITY - PROFESSIONALISM - EFFICIENTLY - MANKIND

Featured Posts

Tembelea Mobile Studio 2002 Tegeta kwa Ndevu ujipatie huduma bora za kumbukumbu katika picha.
Video & Photo Productions

Sep 12, 2012

WAANDISHI WA HABARI TANZANIA WAANDAMANA KWA AMANAI NCHI NZIMA



Baadhi ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiandamana kwa amani ikiwa ni hatua ya kuonyesha hisia zao za kupinga vikali mauaji yanayofanywa na Jeshi la Polisi kwa Raia hapa nchini hususani katika rapsha mbalimbali zikiwemo za mikutano ya kisiasa ambapo hivi karibuni Mwandishi wa Chanel Ten Mkoani Iringa alipoteza maisha baada ya kushambuliwa na Polisi na kuuawa pale pale akiwa kazini (akikusanya picha za habari). Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Ndg. Devil Meena  akitoa tamko kwa niaba ya waandishi wa habari,baada ya maandamano eneo la viwanja vya jangwani jijini Dar.
Posted by Unknown Email This BlogThis! Share to X Share to Facebook

0 comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Link List

  • Evord Inc Computing Solution

Followers

MKAKA. Powered by Blogger.

Blog Archive

Sample text

JITANGAZE NASI UFAHAMIKE

ANGAZA MATUKIO LUKUKI KUPITIA BLOG HII YA JAMII

TANGAZA BIASHARA YAKO LEO FAHAMIKA KWA WENGI

WASILIANA NASI:

+255 756 143 996

+255 714 422 177

Dar Es Salaam, Tanzania

Sample Text

TAFSIRI

Popular Posts

  • HUGO DOMINGO MULTIMEDIA TANZANIA YATOA MKONO WA LAMBILAMBI DAR
    Pichani juu ni picha za kumbukumbu za wapendwa marehemu waliopoteza maisha katika ajali ya meli Mv. Scaget iliyopinduka na kuzama na kusab...
  • T-MARC Tanzania HAS LAUNCHED A NEW DUME CONDOM BRAND IN DAR TODAY
    T-MARC TANZANIA YAZINDUA DUME KONDOMU YENYE MUONEKANO MPYA KUWAVUTIA WANAUME WENYE KIPATO CHA KATI, SERENA HOTEL JIJINI DAR LEO Picha h...
  • MIILI YA ASKARI JWTZ WALIOKUFA NCHINI SUDANI YAAGWA KATIKA KAMBI YA LUGALO ,DAR LEO
      Askari wa Jwtz wakiwa wamebeba moja ya jeneza la mwili wa askari watatu  wa jeshi hilo waliofariki kwa ajali ya maji   wakivuka mto Lama...
  • KWA HALI HII YA MAGARI YA TAKA JIJINI TUTAFIKA?
    Pichani ni gari la kuzoa taka la manispaa ya kinondoni likiwa na zigo la taka barabara ya morogoro na kuelekea manzese midizini. Nyuma ku...
  • DISKO TOTO KWA MAADILI YA WOTOTO LINAMANUFAA KATIKA JAMII ZETU?
                     Vijana wakisakata rumba mtaani eneo la tegeta jijini Dar hivi karibuni!
  • WAANDISHI WA HABARI TANZANIA WAANDAMANA KWA AMANAI NCHI NZIMA
    Baadhi ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiandamana kwa amani ikiwa ni hatua ya kuonyesha hisia zao za ku...
  • MABORESHO BARABARA YA BAGAMOYO YANAENDELEA VIZURI
     Picha juu na chini ni moja ya maendeleo mazuri ya ujenzi wa madaraja ya barabara ya bagamoyo kama linavyoonekana daraja la bondeni kawe. ...
  • SHUGHULI NZIMA YA MAZISHI YA MWANDISHI DAUDI MWANGOSI SEPT 4. 2012
    Mke wa marehemu akiwa katika hali ya simanzi kubwa baada ya kifo cha mumewe. Sehemu ya paji la uso wa marehemu Daudi Mwangosi akiwa amela...
  • 'TUSIKOMOANE HATA KAMA SILALAMIKI !'
    Kwa upakiaji huu mizigo vyombo vyetu licha ya kutohimili je vitadumu na kutufikisha mbele ya malengo yetu???!!!!!!!!!!!!!
  • KAMATA KAMATA DALADALA MBOVU YAENDELEA MWENGE BUS STAND
    Kamata kamata ya daladala zenye ubovu uliokithiri inaendelea katika kituo cha daladala mwenge jijini Dar.  Katika picha anaonekana derev...

Social Icons

About Me

Unknown
View my complete profile
 
Copyright (c) STUDIO FIVE NEWS. All rights reserved.