skip to main | skip to sidebar

Pages

  • Home
  • Contact us

STUDIO FIVE NEWS

picha habari na matukio

Ads 468x60px

TRULY - INTERACTIVE - ATTENTIVELY - INTEGRITY - PROFESSIONALISM - EFFICIENTLY - MANKIND

Featured Posts

Tembelea Mobile Studio 2002 Tegeta kwa Ndevu ujipatie huduma bora za kumbukumbu katika picha.
Video & Photo Productions

Sep 12, 2012

WAANDISHI WA HABARI TANZANIA WAANDAMANA KWA AMANAI NCHI NZIMA



Baadhi ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiandamana kwa amani ikiwa ni hatua ya kuonyesha hisia zao za kupinga vikali mauaji yanayofanywa na Jeshi la Polisi kwa Raia hapa nchini hususani katika rapsha mbalimbali zikiwemo za mikutano ya kisiasa ambapo hivi karibuni Mwandishi wa Chanel Ten Mkoani Iringa alipoteza maisha baada ya kushambuliwa na Polisi na kuuawa pale pale akiwa kazini (akikusanya picha za habari). Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Ndg. Devil Meena  akitoa tamko kwa niaba ya waandishi wa habari,baada ya maandamano eneo la viwanja vya jangwani jijini Dar.
Posted by Unknown Email This BlogThis! Share to X Share to Facebook

0 comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Link List

  • Evord Inc Computing Solution

Followers

MKAKA. Powered by Blogger.

Blog Archive

Sample text

JITANGAZE NASI UFAHAMIKE

ANGAZA MATUKIO LUKUKI KUPITIA BLOG HII YA JAMII

TANGAZA BIASHARA YAKO LEO FAHAMIKA KWA WENGI

WASILIANA NASI:

+255 756 143 996

+255 714 422 177

Dar Es Salaam, Tanzania

Sample Text

TAFSIRI

Popular Posts

  • HUGO DOMINGO MULTIMEDIA TANZANIA YATOA MKONO WA LAMBILAMBI DAR
    Pichani juu ni picha za kumbukumbu za wapendwa marehemu waliopoteza maisha katika ajali ya meli Mv. Scaget iliyopinduka na kuzama na kusab...
  • T-MARC Tanzania HAS LAUNCHED A NEW DUME CONDOM BRAND IN DAR TODAY
    T-MARC TANZANIA YAZINDUA DUME KONDOMU YENYE MUONEKANO MPYA KUWAVUTIA WANAUME WENYE KIPATO CHA KATI, SERENA HOTEL JIJINI DAR LEO Picha h...
  • DISKO TOTO KWA MAADILI YA WOTOTO LINAMANUFAA KATIKA JAMII ZETU?
                     Vijana wakisakata rumba mtaani eneo la tegeta jijini Dar hivi karibuni!
  • MIILI YA ASKARI JWTZ WALIOKUFA NCHINI SUDANI YAAGWA KATIKA KAMBI YA LUGALO ,DAR LEO
      Askari wa Jwtz wakiwa wamebeba moja ya jeneza la mwili wa askari watatu  wa jeshi hilo waliofariki kwa ajali ya maji   wakivuka mto Lama...
  • SEVENTH-DAY ADVENTIST CHURCH KUFANYA KONGAMANO LA MAISHA BORA KATIKA UKUMBI WA WATER FRONT DAR
    Kanisa la Waadventista wa Sabato limetangaza kuwa linaandaa kongamano la maisha bora kwa Watanzania linalotarajia kufanyika katika ukumb...
  • MABORESHO BARABARA YA BAGAMOYO YANAENDELEA VIZURI
     Picha juu na chini ni moja ya maendeleo mazuri ya ujenzi wa madaraja ya barabara ya bagamoyo kama linavyoonekana daraja la bondeni kawe. ...
  • MABORESHO YA MIUNDO MBINU YA BARABARA ZA JIJI DAR NI CHACHU YA KUHARAKISHA MAENDELEO KWA UJUMLA
     Pichani wajenzi wakiwa kazini katika barabara ya Morogoro eneo la kituo kidogo cha daladala Kagera,jijini Dar,haya ni maboresho ya ...
  • UVUVI
    Uvuvi ni sehemu ya shughuli ya kijamii inayowawezesha binadamu kujikimu  kimaisha  ingawa kwa upande wa pili wa shilingi kazi hii imekuwa...
  • KWA HALI HII YA MAGARI YA TAKA JIJINI TUTAFIKA?
    Pichani ni gari la kuzoa taka la manispaa ya kinondoni likiwa na zigo la taka barabara ya morogoro na kuelekea manzese midizini. Nyuma ku...
  • MABADILIKO YA JINA KWA BLOG HII
    SASA   STUDIO FIVE NEWS.BLOGSPORT.COM INAITWA    BLOGTZ.BLOGSPORT.COM TANGU SEPT 12. 2012 Tupate: www.blotz.blogsport.com ...

Social Icons

About Me

Unknown
View my complete profile
 
Copyright (c) STUDIO FIVE NEWS. All rights reserved.