Sep 12, 2012

MKUTANO WA 58 WA WABUNGE WANACHAMA JUMUIYA YA MADOLA (CPA) WAFUNGULIWA RASMI LEO JIJINI COLOMBO, SRI LANKA

Mhe.Spika Anne Makinda pamoja na Mhe. Zitto Kabwe(Mb) wakijongea katika ukumbi  tayari kushiriki hafla ya ufunguzi rasmi wa mkutano huo leo.

Mhe.Spika Anne Makinda ni (wa pili kushoto) waliosimama mstari wa kwanza mbele,akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano huo wa madola (ACP) . Rais Mahinda Rajapaksa(katikati kwenye zuria jekundu)anaonekana pia akiwa katika pozi la picha baada ya ufunguzi rasmi wa mkutano huo.

0 comments: