Sep 4, 2012

SHUGHULI NZIMA YA MAZISHI YA MWANDISHI DAUDI MWANGOSI SEPT 4. 2012

  1. Mke wa marehemu akiwa katika hali ya simanzi kubwa baada ya kifo cha mumewe.Sehemu ya paji la uso wa marehemu Daudi Mwangosi akiwa amelazwa ndani ya jeneza kabla ya kuzikwaDr.Wilbroad Slaa akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu MwangoMjane wa marehemu akimuaga marehemu mumewe na kuamini kuwa ametangulia mbele za haki ambako kila mmoja wetu siku moja atarudi pia......

Mhe. Mwandosya akitoa hesima zake za mwisho kwa marehemu Daudi Mwangosi muda mfupi kabla ya kuzikwa 
Jeneza lenye mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi likiwa limebebwa kuelekea katika maziko 
Ibada ya mazishi ikafanyika
Mwili wa marehemu Daudi Mwangosi ukateremshwa ndani ya kaburi lake la makazi ya milele

Marehemu Daudi Mwangosi hatimaye akafukiwa katika kaburi lake


Picha ya juu,Mke wa marehemu Daudi Mwangosi akaweka shada la maua juu ya kaburi la mume wake mpendwa aliyetoweka kama mshumaa uzimikao kwa upepo mkali.....

"Umetoweka tukingali tunahitaji msaada wako...................................................................."

Watoto wa marehemu Mwangosi wakiweka shada za maua juu ya kaburi la baba yao wakiamini kutoonana naye milele......

Dr. Slaa akaweka shada la maua pia


Mhe. Waziri Mwandosya akateta na Waandishi wa habari



Baada ya shughuli nzima ya kuhifadhi mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi umati huu mkubwa ukarejea.
                                   DAUDI MWANGOSI - 1972-2012. 
                                      REST IN PEACE

0 comments: