Mke wa marehemu akiwa katika hali ya simanzi kubwa baada ya kifo cha mumewe.
Sehemu ya paji la uso wa marehemu Daudi Mwangosi akiwa amelazwa ndani ya jeneza kabla ya kuzikwa
Dr.Wilbroad Slaa akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu Mwango
Mjane wa marehemu akimuaga marehemu mumewe na kuamini kuwa ametangulia mbele za haki ambako kila mmoja wetu siku moja atarudi pia......
Mhe. Mwandosya akitoa hesima zake za mwisho kwa marehemu Daudi Mwangosi muda mfupi kabla ya kuzikwa 
Jeneza lenye mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi likiwa limebebwa kuelekea katika maziko

Ibada ya mazishi ikafanyika
Mwili wa marehemu Daudi Mwangosi ukateremshwa ndani ya kaburi lake la makazi ya milele
Marehemu Daudi Mwangosi hatimaye akafukiwa katika kaburi lake
Picha ya juu,Mke wa marehemu Daudi Mwangosi akaweka shada la maua juu ya kaburi la mume wake mpendwa aliyetoweka kama mshumaa uzimikao kwa upepo mkali.....
"Umetoweka tukingali tunahitaji msaada wako...................................................................."
Dr. Slaa akaweka shada la maua pia

Baada ya shughuli nzima ya kuhifadhi mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi umati huu mkubwa ukarejea.
REST IN PEACE






Mhe. Mwandosya pamoja na mkewe wakiweka shada la maua

Dr. Slaa pia aliteta na Waandishi wa habari.
0 comments:
Post a Comment