Mkuuwa
Majeshi nchini Devis Mwamunyange akiongea nawaandishi wa habari
Sep 7, 2012
MIILI YA ASKARI JWTZ WALIOKUFA NCHINI SUDANI YAAGWA KATIKA KAMBI YA LUGALO ,DAR LEO
Askari wa Jwtz wakiwa wamebeba moja ya jeneza la
mwili wa askari watatu wa jeshi hilo waliofariki kwa ajali ya maji wakivuka mto Lamada, nchini Sudani walikokwenda
kulinda amani chini ya jeshi la umoja wa Mataifa muda mfupi kabla ya kuagwa kwa mili hiyo Lugalo jijini Dar es Salaam leo.
Katibu mkuu wizara ya ulinzi akitoa heshima za mwisho kwa miili ya marehemu
Mkuu wa Majeshi nchini, Devis Mwamunyange akitoa heshima za mwisho kwa miili ya marehemu
Mkuuwa Majeshi nchini Devis Mwamunyange akimfariji mke wa moja ya askari waliofariki
Bi. Fatuma Chunguile
Askari wa JWTZ wakingiza miili ya marehemu katika
gari tayari kwa safari ya kuelekea mikoani kwa ajili ya Mazishi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment