Aug 27, 2012

MADAI KTK SIASA NA VYAMA

Nape Nnauye amtaka Dr Slaa kuilipa CCM Tsh bilioni tatu na shilingi moja!!!!!!!!, ikiwa ni fidia ya kumtaka Dr.Slaa kuthibitisha na kufuta kauli hiyo juu ya madai aliyoyatoa dhidi ya CCM hivi karibuni kuwa ccm iliingiza nchini container la slaa !!!!!!!!!!!!!!!!

0 comments: