Sep 10, 2012

RAIS KIKWETE AFUNGUA CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA CHA JESHI LA ULINZI HAPA NCHINI

 Rais Jakaya Kikwete akikata utepe na kuzindua rasmi Chuo cha Mafuzo ya Ulinzi hapa nchini (National
Deffence College) leo Sept. 10. 2012, Kunduchi jijini Dar Es Salaam.
Kulia kwa Rais ni Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama hapa nchini, Jenerali Davis Mwamunyange, na kushoto kwa Rais ni Mkuu wa chuo hicho Meja Jenerali Charles Makalala.

 Katika picha Rais Kikwete akitembea ndani ya jengo la chuo na kutambulishwa baadhi ya maeneo.
Nyuma anaonekana Jenerali Mwamunyange akiteta jambo na Waziri wa Ulinzi Mhe.Shamsi Vuai Nahoza





0 comments: